Saturday, January 26, 2013
Matunda ya Yanga Uturuki yajibu Taifa
IKICHEZA soka lenye ‘harufu’ ya Uturuki, Yanga jana
iliwathibitishia mashabiki wake ilichojifunza Ulaya baada ya kuiogesha
kichapo cha mabao 3-2 Leopards ya Afrika Kusini katika mchezo wa
kirafiki wa kimataifa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga ilirejea nyumbani mwanzoni mwa wiki hii
baada ya wiki mbili za kujifua nchini Uturuki ilikocheza mechi tatu,
ikifungwa mbili na sare moja.
Jana Yanga ilikuwa tofauti na ilivyozoeleka awali kufuatia kuonyesha soka lenye ‘taaluma’ na kuwapeleka puta Chui kutoka Bondeni.
Chanzo: mwananchi
Jana Yanga ilikuwa tofauti na ilivyozoeleka awali kufuatia kuonyesha soka lenye ‘taaluma’ na kuwapeleka puta Chui kutoka Bondeni.
Chanzo: mwananchi
Subscribe to:
Posts (Atom)